Tafsiri ni taaluma muhimu sana na yenye uhusiano wa karibu na Uandishi wa habari kwani mwanafunzi yapasa ajifunje tafsiri kuweza kutambua jinsi na namna ya kutafsiri makala na majarida mbalimbali hususani ya kiuandishi wa habari.
Ni mafunzo yenye kuhusiana na aina za tafsiri, namna ya kutafsiri na sifa za mfasiri wa lugha.