Lesson Name: Matumizi Ya Istilahi Na Lahaja Katika Uandishi Wa Habari

Hii ni mada yenye kumpa elimu mwanafunzi kwa namna gani ya kutumia istilahi za kiswahili kwa usahihi katika uandishi wa habari

Taaluma ya uandishi wa habari yapasa pia kutambua kutumia istilahi zakiswahili kwa usahihi ndio maana ya kuaandaa mada hii ili kumjengea mwanafunzi msingi bora wamatumizi bora ya istilahi.


Digital files