Lesson Name: Umahiri Katika Kuzungumza Lugha Ya Kiswahili

Ni mada iliyokusanya hoja mbalimbali kutoka kwa wanazuoni wa lugha kuhusiana na suala la umahiri wa lugha na mambo gani yanayopelekea mtu kuwa mahiri wa lugha .

Mada hii hufanya mwanafunzi kuweza kuelewa vyema namna gani anaweza kuwa mahiri wa lugha pamoja na kufahamu chnagamoto za umahiiri.


Digital files