Course Name: KISWAHILI KWA WAANDISHI WA HABARI

This course is has been developed against media industry as well as academic requirement. It cover all important topic in order to enable students to be able to use swahili language effectively in media industry.

Login to Enroll


Lessons

1: Chimbuko La Kiswahili

FUNDISHO LIMEKUWA NA DONDOO NA MAELEZO YA MSINGI KUHUSIANA NA ASILI NA CHIMBUKO LA KISWAHILI

2: Kukua Na Kuenea Kwa Kiswahili Katika Nchi Za Afrika Mashariki

Ni mada ambayo imekusanya mada ndogo ndogo ndani yake zenye kuelezea kwa namna gani lugha ya kiswahili imekua na na kuenea katika nchi za Afrika Mashariki kabla ya uhuru na baada ya uhuru.

3: Ufafnuzi Wa Mitindo Mbal Mbali Ya Lugha Katika Vyombo Vya Habari

Ni mada ambayo imekusanya mitindo mbali mbali ya lugha na namna inavyotumika katika vyombo vya habari

4: Umahiri Katika Kuzungumza Lugha Ya Kiswahili

Ni mada iliyokusanya hoja mbalimbali kutoka kwa wanazuoni wa lugha kuhusiana na suala la umahiri wa lugha na mambo gani yanayopelekea mtu kuwa mahiri wa lugha .

5: Umahiri Wa Kutafsiri Katika Uandishi Wa Habari

Tafsiri ni taaluma muhimu sana na yenye uhusiano wa karibu na Uandishi wa habari kwani mwanafunzi yapasa ajifunje tafsiri kuweza kutambua jinsi na namna ya kutafsiri makala na majarida mbalimbali hususani ya kiuandishi wa habari.

6: Ujuzi Wa Kusikiliza Na Kujieleza Vema Kwa Kiswahili Katika Uandishi Wa Habari

Ni mada ambayo inalenga kumpatia mafunzo ya kujieleza na kusikiliza vema lugha ya kiswahili kwa muandishi wa habari

7: Matumizi Ya Istilahi Na Lahaja Katika Uandishi Wa Habari

Hii ni mada yenye kumpa elimu mwanafunzi kwa namna gani ya kutumia istilahi za kiswahili kwa usahihi katika uandishi wa habari

8: Taratibu Za Tungo Za Kiswahili Katika Kazi Za Uandishi Wa Habari

Ni mada ambayo inajumuisha kanuni na taratibu mbalimbali za kuunda tungo mbalimbali za kiswahili.

9: Makosa Mbalimbali Ya Kisarufi Yanayofanyika Katika Uandishi Wa Habari

Ni mada ambayo imekusanya mchnaganuo wa mafunzo wa makosa mbalimbali yanayofanyika katika uandishi wa habari na kuelezea kwa kina namna gani ya kuweza kuepukana na makosa hayo kwa wanafunzi wanaojifunza taaluma ya uandishi wa habari.

10: Kiswahili Kwa Waandishi Wa Habari Course Outline

Somo linakusudia kumpa mwanafunzi uelewa wa lugha ya kiswahili katika stadi zake zote nne na namna gani ya kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha katika vyombo vya habari.

11: Utungaji

Mada hii inalenga katika kumpatia mwanafunzi ujuzi w namna gani ya kuweza kutambua ujuzi wa tungaji na matumizi mbalimbali ya alama za uandishi.